Maisha Mazuri kwa Watoto
Cathbert Msemo
Hutoa msaada thabiti kwa sisi sote tunaowalea watoto. Upendo pasipo mashartini mbinu ya msingi, lakini pia kukaa pamoja kunakojenga, nidhamuna mbinu nyinginezo zinafafanuliwa kwa makini. Kila atakaye kuwapa watoto wake maisha yaliyo na maendeleo yenye afya, yampasa akisome.
Mwandishi/Author: Anne-Lene Olofson (ed.)
Toleo la 1/First edition: 2020
Kurasa/Pages: 220
Ukubwa/Size: 14.8 x 21 cm
ISBN: 978 9987 639 57 1
Code: 14105